Manji mahakamani leo kwa tuhuma za kutumia dawa za kulevya | Bepari Classic
Breaking News
Loading...

Jumatano, 15 Februari 2017

Manji mahakamani leo kwa tuhuma za kutumia dawa za kulevya

Mwenyekiti wa Klabu ya Yanga, Yusuf Manji, leo anapandishwa mahakamani akituhumiwa kutumia dawa za kulevya.
Kamanda wa Polisi mkoa wa Dar es Salaam, Simon Sirro amedai kuwa vipimo vya mkemia mkuu vimeonesha kuwa mfanyabiashara huyo ni mtumiaji wa dawa hizo. Awali Manji alikuwa amelazwa kwenye hospitali ya Muhimbili baada ya kupata matatizo ya moyo.
Download Video and Put Comment
Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

0 comments:

POST A COMMENT