Aliyekuwa Mume wa Zamani wa Zari na Pesa Aamua Kuzigawa Mtaani | Bepari Classic
Breaking News
Loading...

Alhamisi, 16 Februari 2017

Aliyekuwa Mume wa Zamani wa Zari na Pesa Aamua Kuzigawa Mtaani


Mume wa zamani wa Mrembo Zari Hassan Anayeitwa Ivan Amenaswa Mtaani akigawa Pesa kwa watu wasiojiweza huko nchini Uganda....Inasemekana jamaa huyu anamkwaja wa kutosha mpaka hajui pa kuupeleka kiasi ambacho ameamua kuzigawa barabarani...
Download Video and Put Comment
Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

0 comments:

POST A COMMENT