
Uchaguzi huo umefanyika leo (Jumamosi )katika Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Julisu Nyerere kilichopo Kigamboni.
Mwenyekiti wa uchaguzi huo, Upendo Wera amesema jumla ya kura zilizopigwa ni 15 na moja iliharibika.
Wera ambaye ni Katibu Tawala wa Kigamboni, amesema nafasi ya naibu meya imekwenda kwa Amin Sambo kutoka CCM aliyemshinda Ernest Mafimbo wa CUF chini ya Ukawa.
Download Video and Put Comment
Toa Maoni Hapa Chini
0 comments:
POST A COMMENT